Hii ndio picha ya Zari akiwa bado fukara ambayo imezubaisha wengi…hata Diamond Mwenyewe | HABARI ZA TOWN

~Jamvi La Habari Na Burudani~

Breaking News

Hii ndio picha ya Zari akiwa bado fukara ambayo imezubaisha wengi…hata Diamond Mwenyewe

zariSaa hii Zari ako kwenye mitandaoni akionnyesha manguo, magari na maisha kiistaarabu lakini hakuanzia hapo.
Kuna wakati alikuwa msichana wa kawaida tu..mweusi na mwenye mavazi na nywele za kawaida tu and watu wachache sana wangetmani wakati huo.
Ameabadilika sana na kwa kweli alibleach uso wake ili kufanana na ma star wengine mpaka na wale wa marekani.
Ebu tazama hii picha:Zari
About Author
  • mwana habari Read More

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Total Pageviews

    61865