Kuna wakati alikuwa msichana wa kawaida tu..mweusi na mwenye mavazi na nywele za kawaida tu and watu wachache sana wangetmani wakati huo.
Ameabadilika sana na kwa kweli alibleach uso wake ili kufanana na ma star wengine mpaka na wale wa marekani.
Ebu tazama hii picha:
0 comments:
POST A COMMENT