Huu ndio ujumbe Rich Mavoko alioutoa kwa wasanii wote wa Tanzania…mpaka bosi wake Diamond | HABARI ZA TOWN

~Jamvi La Habari Na Burudani~

Breaking News

Huu ndio ujumbe Rich Mavoko alioutoa kwa wasanii wote wa Tanzania…mpaka bosi wake Diamond

Rich MavokoRich Mavoko ana ujumbe na ni ujumbe ambao anaelekeza kwa wasanii wote Tanzania na pia mashabiki wake.
Na ni ujumbe ya kwamba anawachilia wimbo wake mpya na ina maana watu waache siasa na washughulike na kueneza wimbo huo.
Tunafikiri alikuwa akimweleza bosi wake Diamond ambaye amekuwa akihusika na mambo ya siasa sana Tanzania.
Huu ujumbe ulikuja pia na picha tunayo tumaini ni wimbo mpya aliotoa. Itakuwa wimbo wake mwingine baada ya Kokoro.
Hivi ndivo alivyoandika mitandaoni:
“Hapana, siasa ipo kila siku ila now naona wasanii wengi wanaliongelea hilo, ila mie sidhani kama ngoma nzuri inashindwa kwenda kwaajili ya siasa,” amesema.
Kuhusu muda wa kuachia wimbo wake Mavoko amesema, “Wiki hii naweza kufanya hivyo, au wiki ijayo mwanzoni.”
Na pia kutupa picha hii:Rich Mavoko
About Author
  • mwana habari Read More

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Total Pageviews

    61858