Na ni ujumbe ya kwamba anawachilia wimbo wake mpya na ina maana watu waache siasa na washughulike na kueneza wimbo huo.
Tunafikiri alikuwa akimweleza bosi wake Diamond ambaye amekuwa akihusika na mambo ya siasa sana Tanzania.
Huu ujumbe ulikuja pia na picha tunayo tumaini ni wimbo mpya aliotoa. Itakuwa wimbo wake mwingine baada ya Kokoro.
Hivi ndivo alivyoandika mitandaoni:
“Hapana, siasa ipo kila siku ila now naona wasanii wengi wanaliongelea hilo, ila mie sidhani kama ngoma nzuri inashindwa kwenda kwaajili ya siasa,” amesema.
Kuhusu muda wa kuachia wimbo wake Mavoko amesema, “Wiki hii naweza kufanya hivyo, au wiki ijayo mwanzoni.”
Na pia kutupa picha hii:
0 comments:
POST A COMMENT