
Msanii Diamond Platnumz akiwa na RayVanny wakiwa kwenye kipindi cha 'Ngaz kwa Ngaz' Diamond Platnumz alisema hayo kwenye kipindi cha 'Ngaz kwa Ngaz' kinachorushwa na ting'a namba moja kwa vijana EATV na kusema toka ameanza muziki wasanii ambao amewahi washirikishia kwenye nyimbo zake ni watatu, yupo Chid Benz, Maua, pamoja na RayVanny.
0 comments:
POST A COMMENT