ST JOSEPHS COLLEGE SHINYANGA INAWATANGAZIA NAFASI ZA MASOMO | HABARI ZA TOWN

~Jamvi La Habari Na Burudani~

Breaking News
Loading...

ST JOSEPHS COLLEGE SHINYANGA INAWATANGAZIA NAFASI ZA MASOMO

 
Chuo cha Mtakatifu Joseph Shinyanga ni Taasisi iliyosajiliwa na Serikali kupitia Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) kwa namba ya usajili REG/BTP/076P, Chuo kinatoa mafunzo katika ngazi ya Cheti (Certificate) na Stashahada (DIPLOMA) 
katika kozi za
  1. HUMAN RESOURCES MANAGEMENT
  2. PROCUREMENT AND SUPPLY
  3. BUSINESS ADMINISTRATION
  4. ACCOUNTANCY
  5. ICT
  6. JOURNALISM $ MASSCOMUNICATION
  7. FULL SECRETARIAL COURSE
  8. NURSERY TEACHING $ KINDERGATEN
  9. RECORDS MANAGEMENT
  10. COMMUNITY DEVELOPMENT

Sifa za kujiunga na chuo ni uwe umemaliza kidato cha NNE
Chuo kipo shinyanga mjini na muhula wa masomo utaanza tarehe 3/4/2017 Kwa masiliana zaidi piga namba zifuatazo  0717583713 / 0788815842 / 0769982572
HAYA NDIO MAZINGIRA YA SHULENI 












About Author
  • mwana habari Read More

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Total Pageviews