Hivi unajua mambo haya 6 kutoka katika ushindi wa BARCELONA dhidi ya PSG | HABARI ZA TOWN

~Jamvi La Habari Na Burudani~

Breaking News
Loading...

Hivi unajua mambo haya 6 kutoka katika ushindi wa BARCELONA dhidi ya PSG

1.IMEKUWA TIMU YA KWANZA KUPINDUA MATOKEO BAADA YA KUFUNGWA 4-0 MCHEZO WA KWANZA.Mwaka 2004 katika mchezo kati ya Ac Millan na Deportivo almanusra litokee jambo kama hili lakini Deportivo walipata bao 1 ugenini.Toka kuanzishwa kwa Champions League hakuna timu ambayo imeshawahi kufanya hichi walichokifanya Barcelona.
2.BARCELONA INAKUWA TIMU YA KWANZA KUFUDHU 8 BORA MARA 10 MFULULIZO.Kitendo cha Barca kuitoa PSG pia kimewapa rekodi hii.Hakuna timu yoyote katika Champions League ambayo imefanikiwa kufudhu katika hatua ya 8 bora kwa mara 10 mfululizo,wao ndio wakwanza kufanya hivyo.
3.LUIS SUAREZ ANAWEKA REKODU MPYA YA UFUNGAJI.Katika michezo 65 ambayo Suarez ameichezea Barcelona amefunga mara 64.Hii ina maana kwamba ni sawa na kufunga goli moja katika kila mchezk kati ya hiyo 64 kasoro mchezo mmoja.
4.FAULU YA KIPA NDIYO ILIWAPONZA PSG.Kama uligundua goli la ushindi la dakika ya 95 la Sergio Roberto lilitokana na faulu aliyofanyiwa golikipa wao Marc Andre Ter.Bila golikipa huyu ni wazi kwamba pengine lile goli lisengetokea kwa kuwa chanzo cha goli kisingekuwepo.
5.SEKUNDE 420 ZILIWATOA PSG.Hadi inafika dakika ya 87 Barcelona hawakuwa na matumaini kuwatoa PSG.Lakini sekunde 420 sawa na dakika 7(kuanzia dakika ya 88 hadi 95 ziliwatosha Barcelona kuwatoa PSG.Magoli matatu ya Barcelona yalipatikana ndani ya dakika hizi 7.
6.NEYMAR AMEMPITA PATRICK KLUIVERT KATIKA UFUNGAJI.Goli alilofunga Neymar lilikuwa goli lake la 21 katika Champions League na hivyo kumfanya kukaa juu ya mkurugenzi wa PSG Patrick Kluivert katika orodha ya wafungaji wa muda wote katika champions league ndani ya Barcelona.Ni Lioneil Messi tu mwenye magoli 94 na Rivaldo mwenye 22 walioko juu ya Neymar kwa sasa.
About Author
  • mwana habari Read More

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Total Pageviews