Gigy Money Atapeliwa Mtandaoni...!!!!!!!!! | HABARI ZA TOWN

~Jamvi La Habari Na Burudani~

Breaking News
Loading...

Gigy Money Atapeliwa Mtandaoni...!!!!!!!!!

 
BAADA ya kuhakiwa akaunti yake Instagram, Msanii wa kuuza nyago kwenye Video Queen wa Bongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’, ameendelea kutapeliwa na vijana  wataalamu wa mtandao ambao wanatengeneza akaunti zenye majina yake na kuvuta baadhi ya mikwanja kwa kutumia jina lake.
“Kuna account imefunguliwa eti ina jina la @gigy_pesa, hiyo account siyo yangu. Account yangu ni hii @gigy_money baada ya ku hack ile nyingine. Hiyo ya @gigy_pesa ni matapeli, kuwa nao mbali” alimaliza Gigy
About Author
  • mwana habari Read More

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Total Pageviews