Linah Sanga 'Ndege Mnana' amefunguka na kuweka wazi kwamba haoni tatizo yeye kupiga picha za kuachia tumbo lake lenye ujauzito wazi kwani picha ni za kawaida sana wala hazina matatizo yoyote. Linah amefunguka hayo kwenye kamera za eNewz na kudai kwamba hawezi kumfurahisha kila mmoja ndio maana anafanya kile ambacho anahisi kipo sahihi kwa upande wake huku akidai wakosoaji wapo wengi.
Msanii Linah Sanga afunguka haya kuhusu ujauzito wake!!!
Published Under
burudani

Linah Sanga 'Ndege Mnana' amefunguka na kuweka wazi kwamba haoni tatizo yeye kupiga picha za kuachia tumbo lake lenye ujauzito wazi kwani picha ni za kawaida sana wala hazina matatizo yoyote. Linah amefunguka hayo kwenye kamera za eNewz na kudai kwamba hawezi kumfurahisha kila mmoja ndio maana anafanya kile ambacho anahisi kipo sahihi kwa upande wake huku akidai wakosoaji wapo wengi.
About Author
mwana habari Read More
- Next BUNGE LA TANZANIA LAPOKEA UGENI MZITO HUKO BUNGENI DODOMA!!!
- Previous PROF Jay atema cheche bungeni kuhusu vilio vya wasanii.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
POST A COMMENT