Rais Dr Magufuli Aipongeza Serikali ya Msumbiji kwa Kuwafukuza Watanzania..!!! | HABARI ZA TOWN

~Jamvi La Habari Na Burudani~

Breaking News
Loading...

Rais Dr Magufuli Aipongeza Serikali ya Msumbiji kwa Kuwafukuza Watanzania..!!!

 
Rais Magufuli akiwa ktk ziara Mtwara amesema ni sawa tu kwa Serikali ya Msumbiji kwa kuwafukuza wahamiaji haramu.
Na amewataka watanzania warudi tu nyumbani kuna kila kitu ili tujenge nchi yetu.
Na ulivyokwenda ndivyo utakavyorudi kwasababu Serikali haikukupeleka Msumbiji na hata usafiri wanaopewa hauna sababu kwa sasa.
Amemshanga mtanzania kutoka Shinyanga kwenye dhahabu kwenda kuchimba madini Msumbiji.
Msumbiji ni marafiki wa Tanzania na wahamiaji haramu wasisababishe kuharibu mahusiano kati ya Tanzania na Msumbiji.
About Author
  • mwana habari Read More

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Total Pageviews